Monday, 9 April 2018

Zuma awa ngangari mbele ya mashtaka ya rushwa

Zuma awa ngangari mbele ya mashtaka ya rushwa
Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma alifikishwa kizimbani katika mahakama iliyofurika Ijumaa kukabili mashtaka ya rushwa na aliibuka mkaidi, akiyataja mashtaka hayo kuwa yaliochochewa kisiasa.
Jacob Zuma Durban Südafrika (picture-alliance/AP/T Hadebe)
Zuma mwenye umri wa miaka 75, alionekana mtulivu wakati wa usikilizaji wa kwanza wa kesi hiyo uliodumu kwa dakika 15 tu, ambapo kesi hiyo iliahirishwa hafi Juni 8.
Jaji Themba Sishi ameahirisha kesi hiyo, baada ya kuwasilikiza mawakili wa pande zote waliothibitisha kuwa Zuma atakata rufaa kupinga uamuzi wa kumshitaki. Polisi iliimarisha usalama nje ya jengo la mahakama, lakini tukio hilo limepita kwa amani.
Wakati mapambano ya muda mrefu yanatarajiwa, tukio la Zuma kusimama mbele ya majaji chini ya miezi mwili baada ya kujiuzulu wadhifa wake, lilikuwa ushindi kwa wanasiasa wa upinzani na wanaharakati waliopigana kwa miaka kadhaa kumuwajibisha.
Mashtaka yanayomkabili Zuma
Mashitaka 16 ya hongo, udanganyifu na utakatishaji fedha yalirejeshwa hivi karibuni baada ya kutupiliwa mbali karibu muongo mmoja uliopita. Yanahusiana na mkataba wa silaha katika miaka ya 1990, wakati Zuma alipokuwa naibu rais.
Südafrika | Präsident Zuma tritt zurück ARCHIV (Reuters/R. Ward)
Wafuasi wa Zuma wanaamini kiongozi wao anaandamwa tu na hana hatia.
Zuma anashtumiwa kwa kuchukuwa hongo kutoka kampuni ya Ufaransa inayotengeneza silaha ya Thales, katika mkataba wa mamilioni ya dola, wakati alipokuwa waziri wa uchumi na wakati huo makamu wa rais wa chama tawala cha Afrika Kusini, ANC.
Kampuni ya Thales, ambayo iliiuzia Afrika Kusini meli za kivita kama sehemu ya mkataba huo, pia inakabiliwa na mashtaka ya rushwa na mwakilishi wa kampuni hiyo alihudhuria mahakamani pamoja na Zuma.
Zuma anadaiwa kuchukuwa kinyume na sheria jumla ya Randi milioni 4.7, sawa na Euro 280,000 kwa kiwango cha sasa cha ubadilishaji fedha -- kutoka malipo 783 yaliyoshughulikiwa na Schabir Shaik, mfanyabiashara aliyekuwa mshauri wake wa kibiashara. Shaik alihukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani mwaka 2005 kwa tuhuma sawa na hizo, lakini uchunguzi uliookolewa sana mwaka 2016, ulimuondolea lawama Zuma.
Zuma ambaye aliingia madarakani mwaka 2009 baada ya kuondolewa mashtaka, anakanusha kutenda kosa lolote, na anadai kuwa tume ya uchunguzi ilithibitisha kuwa hakuna ushahidi wowote kwamba fedha zilizopokelewa na yeyote miongoni mwa washauri zililipwa kwa afisa yeyote.
Adai kuandamwa kisiasa
Nje ya jengo la mahakama, Zuma aliimba na kucheza jukwani mbele ya kundi kubwa la wafuasi wake, wengi wao wakiwa wamevalia nguo za rangi za chama cha ANC. Aliwambia wafuasi kuwa yeye ni mhanga wa visasi vya kisiasa.
Aliongeza kuwa amekuwa akipigania haki za za kiuchumi za raia weusi wa Afrika Kusini walio wengi tangu kumalizika kwa utawala wa kibaguzi wa weupe wachache mwaka 1994.
Ujumbe huo unavuma miongoni mwa watu wengi wanaochukia ukweli kwambasehemu kubwa ya uchumi inaendelea kuwa mikononi mwa wazungu wachache licha ya kuja kwa demokrasia.
Südafrika - neuer Präsident Cyril Ramaphosa (picture-alliance/AP Photo)
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameapa kupambana na rushwa aliokiri kuwa tatizo kubwa kwa taifa hilo.
"Mtu anapotuhumiwa kwa uhalifu, hilo halimaanishi kwamba wamekutwa na hatia. Mtu huyo bado ana haki kama mtu mwingine yeyote," alismea Zuma.
ANC yamtupa mkono
Mwezi uliopita mwendesha mashtaka mkuu wa Afrika Kusini Shaum Abrahams -- aliyepachikwa jina la utani la "Shaun Kondo" -- kutokana na utiifu wake kwa Zuma wakati wa urais wake -- aliagiza Zuma ashitakiwe kwa udanganyifu, rushwa na utakatishaji fedha.
Chama cha ANC kilimlaazimisha Zuma kuachia madaraka mwezi Februari, kutokana kwa sehemu kubwa na changamoto za kisheria zilizokuwa zikiongezeka dhidi yake pamoja na kashfa kadhaa za rushwa, na chama hicho kimejitenga na kiongozi wake huyo wa zamani.
Mrithi wa Zuma Cyril Ramaphosa ameapa kupambana dhidi ya rushwa serikalini, ambayo alikiri kuwa ni tatizo kubwa.
Mwandishi: ramadhani daud
Mhariri: rama dee

Friday, 9 March 2018

Miaka 6o tangu kuripuliwa bomu la kwanza la atomiki duniani

HABARI ZA ULIMWENGU

Miaka 6o tangu kuripuliwa bomu la kwanza la atomiki duniani

July 16, mwaka 1945 katika Jangwa la Mkoa wa New Mexico, huko Marekani, kulifanywa jaribio la mwanzo la kuliripuwa bomu la atomiki ambalo limeibadilisha dunia yetu hii. Bomu hilo lilikuwa na nguvu mara alfu mbili zaidi kuliko bomu lolote lililokuweko hapo kabla; na sio tu lilipodondoshwa huko Hiroshima na Nagasaki lilipelekea Japan kusalimu amri katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia, lakini, wakati huo huo, lilianzisha enzi mpya ambayo tunaishi nayo hivi sasa, enzi ya kutishwa kutumai silaha hiyo.
Rais Truman (miaka 60 iliopita) akitangaza kusalimu amri Ujerumani katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia
Rais Truman (miaka 60 iliopita) akitangaza kusalimu amri Ujerumani katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia
Bomu la mwanzo la atomiki lilitengenezwa huko Los Alamos, katika maabara yalio ya siri iliokuweko katika milima ya New Mexico. Mwanafizikia Robert Oppenheimer aliiongoza shughuli hiyo katika kipindi cha chini ya miaka miwili.
Dakika moja baada ya saa sita za usiku hapo July 13, siku tatu kabla ya kuripuliwa bomu hilo, gari iliondoka huko Los Alamos, ikiwa na madini ya Plutonium. Mahala pa kufanywa jaribio palikuwa katika Bonde liliokuwa jangwani. Muda mfupi kabla ya kutuwa juwa, bomu hilo liliripuliwa:
Insert: Atm: Countdown/Explosion…
Joe Lehman, mmoja kati ya watu wachache walioshuhudia tokeo hilo, anasema:
Insert: O-Ton Joe Lehman:
+Umeme, mara dhoruba kubwa ya upepo, mtikisiko mkubwa na sura ya uyoga wa atomiki, tena sura inakuja kama ya nguzo iliosimama angani ambayo inazidi kwenda juu na juu. Na baada ya dakika kuna mwangaza wa kama juwa linalotuwa ambao unangara kutokana na vichembe chembe vya mavumbi yalioko hewani- Rangi unazoziona ni za kuvutia sana.+
Umeme kama wa radi uliopanda juu kwa kasi ya mita 120 kwa sekundi ulionekana hadi Albuquerque, umbali wa kilomita 300. Huu ulikuwa sio mchezo wa kimaumbile, lakini ni nguvu za mwanadamu. Kilomita tatu kutoka hapo, katika mahandaki wanasyansi walikuwa wakishuhudia tokeo hilo, na mmoja wao alikuwa mwanasayansi na jenerali wa jeshi, Jack Aeby:
Insert: O-Ton:
+Wengi wetu mwanzo tulibakia na mawazo yetu wenyewe. Lakini tulipokusanyika, nilihisi tumenywea, tumeathrika na kile tulichokianzisha. Tukaanza kujiuliza kama kufanya hivyo ilikuwa ni fikra nzuri. Mimi mwenyewe nilijiuliza.+
Mwenyewe Robert Oppenheimer, muasisi wa bomu hilo, alijihisi atabakia kuwa mtu aliyeiharibu dunia hadi atakapokufa.
Wengi wa wanasayansi walioshiriki katika mradi huo wa kutengeneza bomu la atomiki, mradi uliopewa jina la Manhattan, walifikiri kwamba habari za kufaulu majaribio ya kuripuwa bomu la kinyukliya yataifanywa Japan ivikomeshe Vita Vikuu vya Pili vya Dunia. Lakini Rais Truman wa Marekani na wanajeshi wake waliamuwa vingine. Wiki tatu baadae mabomu ya atomiki yalidondoshwa huko Hiroshima na Nagasaki. Mwenyewe Rais Truman aliandika hivi katika kijitabu chake cha makumbusho ya kila siku:
+Nimemtaka waziri wa vita, Simpson, atumie silaha hiyo kuyashambulia malengo ya kijeshi, wanajeshi na manuwari za Wajapani na sio kuwashambulia wanawake na watoto. Melengo yawe tu ya kijeshi. Ni uzuri kwa dunia kwamba sio Hitler na gengi lake au sio Stalin waliovumbua Bomu la atomiki. Inatisha kwamba kuna mtu aliyelitengeneza bomu hilo, lakini sisi tunaweza kubadilisha kuwa la manufaa.+
Mashambulio ya mabomu huko Hiroshina na Nagasaki, Japan, hapo Agosti mwaka 1945 yalichukuwa siku hiyo maisha ya watu 130,000, wengi wao wakiwa ni raia. Nguvu kubwa ya uharibifu wa bomu hilo ilimshangaza pia mvumbuzi wake, Robert Oppenheimer, na kumweka katika hali ya wasiwasi.
Hivi sasa, mahala ambapo bomu la kwanza la atomiki liliripuliwa ni kimya, watu wameihama sehemu hiyo. Lile shimo kubwa lililoachwa kutokana na mripuko huo limefukiwa; na miaka sitini baadae mahala hapo pana miyale mingi ya kinyukliya.
Bila ya shaka, watu waliofanya kazi katika mradi huo wa Manhattan wamekuwa kila wakati wakichunguzwa, kiafya. Baadhi yao wamekufa kutokana na kansa ya mapafu, wakati huo kila mmoja wao alikuwa anavuta sigara. Mmoja au wawili kati yao walikufa kutokana an ajali ya magari, lakini kansa ya mapafu walioipata wengi wao ilitokana na miyale ya kinyukliya.
Wanasayansi hao walitambua kwamba mradi waliokuwa wanaofanyia kazi ulikuwa wa hatari pia kwa afya zao, lakini habari zilizoletwa Marekani kutoka Ulaya na wanasayansi wengi wa atomic, wengi wao wakiwa ni Wayahudi, zilikuwa za kutisha. Habari hizo zilisema kwamba Adolf Hitler na gengi lake walikuwa na Uranium walioipata kutoka Tschekoslovakia, hiyvo inahitaji Marekani iharakishe kutengemeza bomu hilo. Hapo tena yakaanza mashindano ya nani atafaulu kwanza kulifikia lengo hilo. Wamarekani walishughulika kujifariji na mshtuko waliopata kwa manuwari zao kushambuliwa na ndege za Wajapani huko Pearl Harabou, na jeshi la Ujerumani lilikabiliana na kushindwa huko Stalingrad. Hivyo, ililazimu kujengwa maabara ya utafiti wa atomiki kwa haraka kama iwezekanavyo, na ndipo Los Alamos pakachaguliwa kuwa ni mahala muwafaka pa kufanya jaribio hilo, na mradi huo ukapewa jina la Manhattan.
Wengi waliokuweko hapo walikuwa hawajui kwanini ni wako hapo. Polisi wa jeshi wa wakati huo, Lawrence Antos, anasema:
Insert: O-Ton:
+Tulipofika, tulifikiri hapo patakuwa kambi ya wafungwa wa kivita wa Kijapani. Tuliamini wafungwa wa kivita wa Kijapani watapelekwa Los Alamos.+
Kulikuwa na kanuni kali kwa wale wanaofanya kazi huko. Maabara yalikuwa mbali na majengo ya kuishi, eneo zima lilizungukwa na senyenge na kulindwa. Hamna mtu yeyote aliyeruhusiwa kwenda umbali wa zaidi ya kilomita 100, na wanasanyansi walikuwa hawawezi kuwasiliana na jamaa zao.
Maabara ya Los Alamos ilipanuka kutoka kuwa na wafanya kazi 400 hadi 4,000, mabingwa wa madini, wale wa Plutonium, wanakemia, wote hao wakishughulika na suala juu ya namna ya kuliripuwa bomu hilo la atomiki.
Insert: Atmo: Test
Jaribio hilo lilifaulu. Saa kumi na moja na dakika 29 sekundi 45 bomu la mwanzo la atomiki duniani liliripuliwa. Mwanadamu aliingia katika enzi ya atomiki. Vita Vikuu vya Pili vilimalizika kwa kudondoshwa mabomu hayo huko Hiroshima na Nagasaki, nchini Japan. Kama bomu la atomiki ni mafanikio au hasara, kwa mwanadamu aliyeliunda, ni suali gumu kulijibu.

    Jinsi Ulaya Ilivyorudisha Nyuma Afrika

    Jinsi Ulaya Ilivyorudisha Nyuma Afrika

    Jinsi Ulaya Ilivyorudisha Nyuma Afrika (kwa KiingerezaHow Europe Underdeveloped Africa) ni kitabu kilichoandikwa na Walter Rodney ambacho yeye ameonyesha mtazamo kuwa Afrika ilinyonywa na serikali za kikoloni za Ulaya na kurudishwa nyuma kimaendeleo kwa makusudi mazima.
    Rodney anajenga hoja kuwa mchanganyiko wa nguvu za kisiasa na unyonyaji wa kiuchumi wa Afrika na Ulaya ulisababisha hali mbaya ya kisiasa ya Afrika na maendeleo ya kiuchumi yakionekana dhahiri mwishoni mwa karne ya 20. Katika utangulizi wa kitabu hicho, Rodney anasifia hali ya Tanzania, ambayo ilikuwa inaendeleza aina ya itikadi ya kisiasa ya [[Ujamaa] ambayo Rodney alitetea.
    Kitabu kiliandikwa mwaka 1972 na kimekuwa ushawishi mkubwa katika utafiti wa historia ya Afrika. Katika miaka ya 1990 wasomi wengi wakawa na kasi zaidi katika tasnifu ya kitabu na walijenga hoja kuwa kitabu kimerahisisha zaidi nguvu tata za kihistoria zilizonguka zama za ukoloni.
    Kitabu hiki kilivuja msingi kwamba kilikuwa kati ya kwanza kuleta mtazamo mpya kwa suala la maendeleo duni ya Afrika. Uchambuzi wa Rodney ulikwenda mbali zaidi ya heretofore kukubali kukaribia katika utafiti wa maendeleo duni ya Dunia ya Tatu na ulikutana na ukosoaji mkubwa.
    Rodney alikuwa amedhamiria kuwa njia pekee ya kweli ya maendeleo ya binadamu na ukombozi kwa watu wengi wa nchi yake ilikuwa kupitia mabadiliko ya maisha yao katika mapambano ya kuumba na kuondoa serikali za ukoloni mamboleo zilizoshamiri katika jamii yao na kutambua uwepo wao.

    Rodney kuhusu nguvu

    "Athari ya kipindi kifupi cha ukoloni na madhara yake kwa jamii ya sasa ya Afrika hasa unatokana na ukweli kwamba Afrika ilipoteza nguvu. Nguvu ni kiashirio cha mwisho katika jamii ya binadamu, kwa kuwa msingi wa mahusiano katika kikundi chochote na kati ya vikundi. Inaashiria uwezo wa mtu kutetea maslahi yake na ikibidi alazimishe mapenzi yake kwa njia yoyote inayopatikana. Katika mahusiano kati ya watu, nguvu huamua uwezekano wa kuafikiana katika biashara, kiasi ambacho watu hustahimili kimwili na kiutamaduni. Wakati jamii moja inajipata ikilazimishwa kuachilia madaraka yake yote kwa jamii nyingine, hiyo ni aina ya maendeleo duni."

    Matoleo

    Usain Bolt


    Usain Bolt

    Yaliyomo

      

    Kumbukumbu na tuzo

    Usain Bolt St Leo (/ ju ː seɪn /, Born. Agosti 21, 1986, Trelawny, Jamaika) ni mwanariadha alishinda medali tatu za dhahabu katika mashindano ya Olimpiki. Anashikilia rekodi ya dunia ya sasa katika wote 100 na 200 dash mita na alama ya 9:58 na sekunde 19:19 mtiririko huo. Got alama hizi katika XII ya Mabingwa wa Dunia uliofanyika katika Berlin. Hasa, Bolt imeweza kuvunja rekodi kwa dash mita 100 Agosti 16, 2009 [2] na mita 200 kwa siku nne baadaye, tarehe 20 Agosti 2009. [3]
    Usain Bolt ana rekodi ya dunia katika dash mita 4x100 kwa njia ya muda 36.84 sekunde, mafanikio katika michezo ya Olimpiki Summer mwaka 2012 timu ya Nesta Carter, Michael Frater, Yohan Blake na Usain Bolt [4] zaidi ya rekodi ya zamani ya sekunde 37.04 pia uliofanyika katika Jamaica. Na ushindi mshindi wa Olimpiki yake ya sita ya dhahabu, na tonra kushinda kutetemeshwa ya Beijing kufikiwa 100, 200 na 4x100.
    Mwaka 2008 na 2009 alikuwa kutambuliwa mwanamichezo wa mwaka na IAAF. Pia mwaka 2009 serikali ya nchi yake alikuwa tuzo ya Amri ya Jamaica, kuwa mtu mdogo kupokea tuzo hii.
    Jamaika alikuwa mwanariadha wa kwanza kushinda mbio za mita 100 na mita 200 katika Michezo ya Olimpiki mbili mfululizo.

    Mtaalamu wa maendeleo ya ukibiaji

    Mshiriki kwa ajili ya Jamaica katika tukio yake ya kwanza Caribbean kikanda, Bolt kumbukumbu bora binafsi ya s 48.28 katika mbio za mita 400 katika 2001 Michezo CARIFTA, kushinda medali ya fedha. Ni pia alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 200 na alama ya s 21.81 [6].
    Yeye alifanya mechi yake ya kwanza juu ya hatua ya dunia 2001 Vijana Mabingwa wa Dunia katika Debrecen, Hungary. Alishiriki katika mita 200, lakini hakuweza kufuzu kwa fainali. Bado kuweka rekodi mpya ya kibinafsi na 21.73 s. [7] Mwaka huu Bolt akaenda Michezo CARIFTA tena, ambapo yeye kuweka rekodi ya michuano ya mita 200 na mita 400 kwa muda wa 21 12 kama 47.33 s, kwa mtiririko huo. [6] Katika mwaka 2002, michuano ya junior, basi rekodi 20.61 katika mbio za mita 200 kama s 47.12 katika mita 400.
    Katika michuano ya Dunia ya Vijana mwaka 2002 alishinda mbio za mita 200 kwa muda wa 20.61 s, [8] 12:03 sekunde polepole zaidi kuliko bora yake binafsi ya kuweka 20.58 s katika raundi ya kwanza. [9] ushindi katika 200 m ilimfanya mdogo junior medali ya dhahabu katika historia. Ukweli wa mashindano ya nyumbani mbele ya umati wa watu nyumbani alifanya naye kupata hivyo neva viatu hata kuweka juu ya miguu vibaya. [10] Kama mwanachama wa timu ya Jamaika relay, pia alichukua medali mbili za fedha na kufikiwa rekodi ya taifa katika 4 x mita 100 (39.15 s) na 4 x mita 400 (m 03:04:06). [11] [12]
    Mwaka 2003 alishinda medali ya dhahabu manne katika Michezo ya CARIFTA, na alikuwa tuzo Austin Sealy nyara kama mwanamichezo bora zaidi ya Michezo. [13] Yeye alishinda mwingine medali ya dhahabu katika michuano ya Dunia ya Vijana , 2003. Yeye pia kuweka rekodi katika michuano mpya mita 200 kwa muda wa 20.40 s, licha ya upepo wa 1.1 m / s. [14] Yeye alipata IAAF Rising Star Award kwa mwaka 2002 [15. ]
    Mwaka 2004 Usain Bolt kuwapiga rekodi ya dunia ya mita 200 junior, kuwa ya kwanza junior mwanamichezo kupunguza kizuizi ya sekunde 20 kwa muda wa sekunde 19.93. Mabingwa wa 2007 Jamaika, yeye mbio mita 200 dash katika s 19.75, kumpiga rekodi ya Mheshimiwa Quarrie na Jamaica kwa baadhi ya miaka 36, ​​na 11 hundredths ya pili. Katika 2007 Mabingwa wa Dunia katika Osaka, Bolt alishinda medali ya fedha katika m 200 nyuma ya Kaskazini Tyson Gay. Yeye alishinda medali ya dhahabu katika mwingine Dunia ya Vijana ya Mabingwa mwaka 2003, kukimbia mita 200 kwa sekunde 20.40.
    Juu ya Mei 31, 2008 Grand Prix ya New York na kumpiga Tyson Gay kuvunja rekodi ya dunia kwa dash 100 m katika milki ya mtani wake Asafa Powell (9.74), kuondoka kwa 9.72 ( na 1.7 m / pili tailwind).
    Usain Bolt, baada ya kushinda mtihani Olimpiki mita 100 dash katika Beijing, kuweka rekodi mpya ya dunia ya 9.69 s.El Agosti 16, 2008 katika michezo ya Olimpiki ya Beijing, Bolt huo kuvunja rekodi ya dunia yeye ilionyesha katika fainali ya dash mita 100 kuweka muda wa sekunde 9.69 (bila uwepo wa upepo). Kabla ya kufuzu, alianza kusherehekea ushindi wao alifungua mikono. Kama mimi alikuwa amefanya ishara hizi, bidhaa inaweza kuwa imeshuka mno.
    Tarehe 20 Agosti 2008 hadi mwisho wa mbio mita 200 ya Michezo ya Olimpiki mjini Beijing, Bolt pia kuvunja dunia Michael Johnson wa rekodi ya mafanikio katika Michezo ya Olimpiki ya Atlanta mwaka 1996 kwa muda wa sekunde 19.30, kumpiga hivyo 19.32 Johnson. Yeye kuwapiga Mei 17, 2009 ya bora rekodi ya dunia mita 150 wa sekunde 14.35 na safari ya mashindano ya Manchester.
    Tarehe 16 Agosti 2009, Riadha ya Dunia katika Berlin, Bolt akarudi kuwapiga rekodi ya dunia katika dash mita 100 ya mwisho kwa muda wa sekunde 9.58, kupunguza katika alama 11/100 yake ya awali. Nyuma yake walikuwa Tyson Gay (9.71 s) na Asafa Powell (9.84 s). upepo ulikuwa unavuma kidogo katika neema, 0.9 m / s.
    Tarehe 20 Agosti 2009, Riadha ya Dunia katika Berlin, Bolt kuvunja rekodi ya dunia tena katika dash mita 200 katika fainali kuacha saa katika sekunde 19.19, ambayo kupunguzwa kwa l 11/100 uliopita rekodi ya dunia, ambayo pia ilikuwa yake. Hata hivyo, baada ya miaka miwili ya kuwa undefeated katika mbio 100 m, Agosti 6, Bolt 2010 alipigwa na Tyson Gay katika tarehe ya kumi na moja ya 2010 IAAF Diamond Ligi kwenye Uwanja wa Olimpiki katika Stockholm. Rekodi yake ilikuwa 9.97 s na s 9.84 kwa Gay.
    London 2012 Olimpiki alishinda kutetemeshwa kwa kushinda medali ya dhahabu katika mita 100 dash kwa muda wa s 9.63, kupungua Olimpiki rekodi yake, [16] dhahabu katika dash 200m (19, 32 watu). [5], na dhahabu ikiwa ni pamoja na rekodi ya dunia (36.84 s) katika 4x100 na Nesta Carter, Michael Frater na Yohan Blake.

    Michuano na matokeo

    • 2002 Dunia Vijana ya Mabingwa 2002 Kingston, Jamaica 1 mita 200 20.61 s
    • 2002 Dunia Vijana ya Mabingwa 2002 Kingston, Jamaica 2 4x100m relay 39.15 s
    • 2002 Dunia Vijana ya Mabingwa 2002 Kingston, Jamaica 2 4x400m relay 03:04:06 s
    • 2003 Dunia ya Vijana michuano ya 2003 Shinyanga, Canada 1 200m s 20:40
    • 2007 Mabingwa wa Dunia 2007 Osaka, Japan 200 m 19.91 s 2
    • 2007 Mabingwa wa Dunia 2007 Osaka, Japan 2 4x100m relay 37.89 s
    • 2008 Michezo ya Olimpiki ya Beijing mwaka 2008, China 1 mita 100 9.69 s
    • 2008 Beijing Michezo ya Olimpiki, China ni 1 ya mita 200 AU 19:30
    • 2008 Michezo ya Olimpiki ya Beijing mwaka 2008, China 1 4x100m relay 37.10 s
    • 2009 Mabingwa wa Dunia 2009 Berlin, Ujerumani 1 100m WR ni 09:58
    • 2009 Mabingwa wa Dunia 2009 Berlin, Ujerumani 1 200m 19.19 s WR
    • 2009 Mabingwa wa Dunia 2009 Berlin, Ujerumani 1 4x100m relay 37.31 s
    • 2011 Mabingwa wa Dunia 2011 Daegu, Korea 1 200 m s 19:40
    • 2011 Mabingwa wa Dunia 2011 Daegu Korea ya Kusini 1 4x100m relay 37.04 s
    • 2012 Michezo ya Olimpiki 2012 London, Uingereza 1 mita 100 9.63 s AU
    • 2012 Michezo ya Olimpiki 2012 London, Uingereza 1 200 m s 19:32
    • 2012 Michezo ya Olimpiki 2012 London, Uingereza 1 4x100 relay 36.84 s WR

    Maendeleo ya binafsi yake

    Yeye mbio ya mita 100 katika 9.76 (upepo 1.8) katika Jamaica Mei 3, 2008, iliyobaki hundredths mbili tu ya rekodi ya dunia. Yeye mbio ya mita 100 katika 9.72 (upepo 1.7) nchini Marekani mnamo Mei 31, 2008, hundredths mbili katika kukabiliana uliopita rekodi ya dunia. Yeye alifanya mita 100 katika 9.69 (upepo 0) katika Michezo ya Olimpiki ya Beijing mnamo Agosti 16, 2008, kuvunja rekodi mpya ya dunia. Ikumbukwe kwamba Bolt ilianza kuacha mita kabla ya kufikia line kumaliza katika show ya wazi ya ubora. Wakati wapinzani wao alifanya juhudi kubwa ya kupata medali, Usain Bolt alikuwa tayari kuadhimisha dhahabu, kuhusu mita 30 kutoka kumaliza, hivyo labda wangefanya hata kidogo wakati. [12] Michuano ya Dunia Riadha Berlin 2009 Mbio (Agosti 16) katika mita 100 ni 9.58 (upepo 0.9) na 200m (Agosti 20) kwa 19.19 s (upepo - 0.3), chini katika kesi zote 11/100 brand yake mwenyewe.

    Tuesday, 27 February 2018

    MSOMI MKUBWA ROGER BACON

    Roger Bacon

    Sanamu ya Roger Bacon, OxfordUingereza.
    Roger Bacon, O.F.M. (IlchesterSomerset1214[1] - Oxford[2] 1294) alikuwa msomi mkubwa wa mambo mengi kutoka Uingereza.[3]
    Kisha kusomea chuo kikuu cha Oxford, alijiunga na utawa wa Ndugu Wadogo (1256). Hapo aliacha kufundisha lakini akaendelea na masomo yake na hata kuandika kuhusu mambo mengi tofauti hadi kifo chake.

    Friday, 26 January 2018

    ugunduzi

    Karl Friedrich Benz


    Karl Friedrich Benz alizaliwa tar. 25 Novemba 1844 akiitwa Karl Friedrich Michael Vaillant huko Mühlburg / Karlsruhe Ujerumani wa Kusini Magharibi. Baada ya kumzaa mamake Josephine Vaillant akaolewa na babake Johann Georg Benz. Hivyo akaitwa Karl Friedrich Michael Benz lakini baadaye akajiita Carl Friedrich Benz.
    Alikuwa mhandisi Mjerumani mwenye sifa ya kuwa alitengeza motokaa ya kwanza au gari la kwanza lililotumia nguvu ya nishati ya petroli.
    Mwaka 1864 alichukua digri ya uhandisi, mw. 1871 alianzisha kampuni yake ya kwanza. Hapo alitengeneza injini ya petroli ya mapigo mawili mwaka 1878/79 aliyoendeleza kuwa injini ya mapigo manne. Benz hakuwa mhandisi wa kwanza kutengeneza injini za aina hii, Mjerumani mwenzake Nikolaus Agosti Otto aliwahi kuchukua hataza ya injini ya mapigo manne mwa. 1876. Injini za aina hii zilifanya kazi viwandani vikiendesha mashine mbalimbali.
    1886 Benz alikuwa mtu wa kwanza aliyeweka injini ya petroli kwa gari. Gari lake la kwanza lilikuwa na magurudumu matatu yenye nguvu-farasi 0.8. Mke wake Bertha Benz alifanya safari kubwa ya kwanza kwa gari hili kwa umbali wa km 89 kutoka Mannheim kwenda Pforzheim (yote Ujerumani wa Kusini Magharibi). Alipoishia petroli alipaswa kuinunua katika duka ya madawa kwani hapakuwapo na kituo cha petroli bado.
    Benz aliendelea kutengeneza gari lenye magurudumu manne. Kwa jina la "Velo" lilikuwa motokaa ya kwanza iliyotengenezwa kwa wingi duniani.
    Benz aliona kupanuka kwa biashara yake watoto wake wakiendelea kuendesha makampuni yake. Mwaka 1926 kampuni ya Benz iliunganishwa na kampuni ya Gottlieb Daimler kwa jina la "Daimler-Benz".
    Karl Benz aliaga dunia tar. 4 Aprili 1929.

    Monday, 15 January 2018

    majengo ya zamani

    Koloseo

    Koloseo mwaka 2007 wakati wa usiku
    Koloseo (Kiitalia: Colosseo) ni kiwanja cha michezo cha kale mjini Roma kilichopo katika hali ya maghofu kutokana na umri wake wa miaka 2000. Ni kati ya majengo mashuhuri mjini Roma na duniani kwa ujumla. Wakati wa Dola la Roma ilikuwa jengo kubwa kabisa liliilojengwa na Waroma wa Kale.
    Koloseo ilijengwa kuanzia mwaka 70 hadi 80 BK. Kaisari Vespasiano alianzisha ujenzi kwa kutumia mapato ya uwindo wa vita ya Waroma dhidi ya Uyahudi na hasa hazina ya hekalu ya Yerusalemu. Ilikamilishwa na Kaisari Titus.
    Kiwanja kilikuwa na nafasi kwa watu 45,000 hadi 50,000. Watazamaji waliangalia maonyesho ambako watu au wanyama waliuawa. Michezo hii iligharamiwa na serikali kwa ajili ya wakazi wa mji kama burudani. Falsafa ya kisiasa ya Roma ilisema ya kwamba watu watulia wakipewa "panem et circenses" yaani "chakula na michezo".
    Baada ya ushindi wa Ukristo mashindano ya kuua watu yalipingwa na kanisa. Shindano la mwisho lilitokea mwaka 434/435. Mapigano dhidi ya wanyama yaliendelea hadi mwaka 523. Lakini baada ya mwisho wa Dola la Roma idadi ya wakazi wa Roma ilipungua na Koloseo haikutumiwa tena kwa michezo.
    Katika karne zilizofuata wakazi wa Roma walitumia Koloseo kama windo la mawe kwa ajiliy a ujenzi. Hivyo sehemu kubwa ya jengo imepotea.
    Sehemu za ndani za Koloseo
    Uharibifu ulusimamishwa na Papa Benedikto XIV aliyetangaza Koloseo kuwa kumbukumbu kwa mashahidi Wakristo waliouawa hapa na tangu 1744 imehifadhiwa.

    Michezo katika Koloseo

    Michezo katika Koloseo ilikuwa hasa ya aina mbili:
    • mashindano ya wapiganaji walioshindana kwa silaha za kweli hadi kifo. Wapiganaji waliitwa na Waroma kwa jina la "gladiator" yaani mwenye upanga. Wengi wao walikuwa watumwa lakini wengine walikuwa watu huru. Walijifunza mapigano kwa silaha kwa ajili ya maonyesho na kuitumia kwenye kiwanja mbele wa watazamaji. Walioshinda walipata tuzo na zawadi nyingi. Wegine walikufa na kusahauliwa.
    • mashindano kati ya watu na wanyama pori. Waroma wa Kale walikamata wanyama pori kutoka Ulaya na Afrika ya KAskazini kwa ajili ya maonyesho haya. Wanyama waliuawa kwenye kiwanja mbele ya watazamaji na magladiator lakini ilitokea pia ya kwamba wavindaji waliuawa na wanyama.
    Waroma wa Kale walipenda maonyesho haya.
    Wakristo jinsi waliowekwa mbele ya simba
    Palikuwa pia na michezo ya pekee:
    • kiwanja kilijazwa maji na jahazi pia manowari ndogo ziliwekwa humo ili zishindane. Michezo hii ilikuwa ghali sana na ni makaisari tu walioweza kugharamia michezo ya aina hii.
    • Tangi karne ya 3 Wakristo waliuawa kiwanjani kama sehemu ya maonyesho. Ukristo ulikuwa dini marufuku katika Roma ya Kale hadi mwaka 313. Wakati mwingine Wakristo walikamtawa kwa wingi na kupewa hukumu ya mauti. Walionekana walifaa kwa maonyesho ambako walisimamishwa mbele ya wanyama pori kama simba au dubu.

    Tuesday, 28 November 2017

    Jamii:Magari

    Makala katika jamii "Magari"

    Jamii hii ina kurasa 19 zifuatazo, kati ya jumla ya 19.

    A

    • Acura

      Acura


      Acura NSX,toleo la 2016
      Acura ni mtengenezaji na msambazaji wa magari ya fahari ya Honda automaker ya Kijapani.
      Toleo hili lilizinduliwa nchini Marekani na Canada mwezi Machi 1986.
      Masoko ya anasa, utendaji, na magari ya juu ya utendaji na lilianzishwa huko Hong Kong mwaka 1991, Mexico mwaka 2004, China mwaka 2006, Urusi mwaka 2014 na Kuwait mwaka 2015, na pia kuuzwa nchini Ukraine.
      Mpango wa Honda wa kuanzisha Acura kwa soko la ndani la Japani (JDM) mwaka 2008 ulichelewa, kutokana na sababu za kiuchumi, na baadaye ikazuiwa kama matokeo ya mgogoro wa kifedha wa 2008.
    • Alama za kimataifa za magari

    Audi


    Audi e-tron.

    Kampuni ya Audi.
    Audi AG ni mtengenezaji wa magari wa Ujerumani kwamba miundo, wahandisi, hutoa, masoko na kusambaza magari ya anasa.
    Audi ni mwanachama wa Volkswagen Group na ina mizizi yake katika IngolstadtBavariaUjerumaniMagari ya Audi yanazalishwa katika vifaa vya uzalishaji tisa duniani kote.

    Historia ya Audi[hariri | hariri chanzo]

    Asili ya kampuni hiyo ni ngumu, kurejea mapema karne ya 20 na makampuni ya kwanza (Horch na Audiwerke) iliyoanzishwa na mhandisi August Horch na wazalishaji wengine wawili (DKW na Wanderer), na kusababisha msingi wa Auto Union mwaka wa 1932.
    Muda wa kisasa wa Audi kimsingi ulianza miaka ya 1960 wakati Auto Union ilipatikana kwa Volkswagen kutoka Daimler-Benz.
    Jina la kampuni linategemea tafsiri ya Kilatini ya jina la mtangulizi, Agosti Horch. "Horch", maana ya "kusikiliza" kwa Kijerumani, inakuwa "sauti" katika Kilatini. Vipande vinne vya alama ya Audi kila mmoja huwakilisha moja ya makampuni ya magari manne ambayo yameunganishwa pamoja ili kuunda kampuni ya awali ya Audi, Auto Union.
    Kauli mbiu ya Audi ni Vorsprung durch Technik, maana yake "Mafanikio kupitia Teknolojia". Hata hivyo, Audi USA ilitumia kauli mbiu "Kweli katika Uhandisi" tangu 2007 hadi 2016, na haijatumia kauli mbiu tangu 2016. Audi, pamoja na BMW na Mercedes-Benz, ni miongoni mwa bidhaa bora za magari ya kifahari ulimwenguni.

    B

    Basi


    Basi dogo huko Novoaltaisk.

    Basi la masafa marefu huko KrakowPolandi.
    Basi (kutoka Kiingereza "bus") ni chombo cha usafiri kinachotumika kusafirisha watu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kwa ajili ya shughuli mbalimbali, kwa mfano kazimasomoutafiti na kadhalika.
    Vyombo hivi vipo vya aina mbalimbali, kwa mfano kuna mabasi madogo yanayobeba abiria wachache na kusafiri umbali wa kawaida, pia kuna mabasi makubwa yenye kubeba watu wengi kuanzia hamsini na kuendelea na mabasi hayo husafiri umbali mrefu: yanaweza kusafiri kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine bila kumpumzishwa.
    Katika dunia ya sasa mabasi yanatumika sana katika shughuli mbalimbali, kwa mfano shughuli za kiuchumi kwa kusafirisha wafanyakazi na wafanyabiashara katika nchi mbalimbali.
    Kwa msaada wa vyombo hivyo watu wanaweza kufika sehemu nyingi kwa wakati na kwenye kazi zao kwa wakati; hali hii imesaidia kwa kiasi kikubwa kukuza uchumi wa nchi nyingi duniani.






    • BMW

      BMW


      BMW M3.
      BMW AG ni kampuni ya Ujerumani inayozalisha magari na pikipiki, na ilikuwa ikizalisha injini za ndege mpaka mwaka 1945.
      Kampuni hiyo ilianzishwa mwaka wa 1916 na makao makuu yake yapo MunichBavaria. BMW inazalisha magari nchini Ujerumani, BrazilChinaIndiaAfrika Kusini na Marekani.
      Mwaka 2015, BMW walikuwa watengenezaji wa magari namba kumi na mbili duniani, na walizalisha magari 2,279,503. Familia ya Quandt ni wahisa wa muda mrefu wa kampuni hiyo, na hisa zilizobaki zinazotokana na kuelea kwa umma.

    C

    Cadillac


    Cadillac Eldorado, Cabriolet, la mwaka 1975.

    Cadillac ATS la mwaka 2017
    Cadillac (linatamkwa / kadilaki /), jina rasmi Cadillac Motor Car Division, ni mgawanyiko wa kampuni iliyo na makao makuu huko Marekani(U.S. Motors (GM)) ni kampuni ya uuzaji na usambazaji wa magari ya anasa duniani kote. Masoko yake makuu ni Marekani, Canada na China, lakini magari ya Cadillac yanapatikana katika masoko 34 ya ziada duniani kote.
    Kihistoria, magari ya Cadillac daima yamefanyika mahali juu ya uwanja wa kifahari ndani ya Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 2016, mauzo ya U.S. Cadillac ilikuwa ya magari 170,006,na mauzo yake ya kimataifa yalikuwa magari 308,692.





    D

    • Dodge Viper

      Dodge Viper


      Mfano wa gari la kampuni ya Dodge Viper
      Dodge Viper ni gari la michezo linaloundwa na Dodge (SRT ya 2013 na 2014), mgawanyiko wa FCA US LLC kutoka 1992 hadi 2017 baada ya kuchukua mabadilioko mafupi kutoka 2010-2013. Uzalishaji wa magari ya michezo ya viti viwili ulianza Mkutano Mpya wa Mack mwaka 1991 na kuhamia Bunge la Conner Avenue mnamo Oktoba 1995.
      Ijapokuwa Chrysler alifikiria kukomesha uzalishaji kwa sababu ya matatizo makubwa ya kifedha, Septemba 14, 2010, mtendaji mkuu Sergio Marchionne alitangaza na kuonyesha mfano mpya wa Viper kwa mwaka 2012.Mwaka wa 2014, Viper iliitwa jina la namba 10 kwenye orodha ya "Magari mazuri ya Amerika", maana 75% au zaidi ya sehemu zake zinazalishwa nchini U.S.Viper awali alikuwa mwishoni mwa 1988 katika Chrysler's Advanced Design Studios. Februari ifuatayo, rais wa kampuni dodge Chrysler Bob Lutz alipendekeza Tom Gale katika Chrysler Design kwamba kampuni hiyo inapaswa kufikiria kuzalisha Cobra ya kisasa, na mfano wa udongo uliwasilishwa kwa Lutz miezi michache baadaye. Iliyotengenezwa katika chuma cha karatasi na Metalcrafters, [5] gari lilionekana kama dhana kwenye Kituo cha Kimataifa cha Magari ya Amerika ya Kaskazini ya mwaka 1989. Masikio ya umma yalikuwa ya shauku kwamba mhandisi mkuu Roy Sjoberg alielekezwa kuendeleza kama gari la uzalishaji wa kawaida.

    F

    • Ferrari

      Ferrari


      Ferrari
      Ferrari ni kampuni ya Italia inayotengeneza magari. Kampuni ya Ferrari ilianzishwa na Enzo Ferrari mwaka wa 1939 kutoka divisheni ya Alfa Romeo ya magari ya mashindano ikitwa Auto Avio Costruzioni, kampuni hiyo ilijenga gari lake la kwanza mwaka wa 1940. Hata hivyo, kuanzishwa kwa kampuni kama mtengenezaji wa magari kwa kawaida ilijulilikana mwaka wa 1947, wakati gari la kwanza la Ferrari limekamilishwa.
      Mwaka wa 2014, Ferrari ililipimwa na Brand Finance kuwa gari lenye bei kubwa zaidi duniani. Mnamo Mei 2012 Ferrari ya 250 GTO ya 1962 ikawa gari la gharama zaidi katika historia baada ya kuuzwaa kwa dola za Marekani 38.1 milioni kwa mfanyabiashara wa Marekani Craig McCaw.

      Nembo ya Ferrari.
      Fiat S.p.A. ilipewa asilimia 50 ya Ferrari mwaka 1969 na kupanua hisa zake kwa asilimia 90 mwaka 1988. Mnamo Oktoba 2014 Magari ya Fiat Chrysler yalitangaza nia zake za kutenganisha Ferrari S.p.A kutoka FCA; na kutangazwa FCA inamiliki asilimia 90 ya Ferrari. Ugawanyiko ulianza mnamo Oktoba 2015 na marekebisho yaliyoanzishwa Ferrari NV (kampuni iliyosajiliwa Uholanzi) kama kampuni mpya ya kampuni ya Ferrari na uuzaji uliofuata na FCA ya asilimia 10 ya hisa katika na orodha ya kawaida ya kushiriki kwenye New York Stock Exchange. Kupitia hatua zilizobaki za kujitenga, riba ya FCA katika biashara ya Ferrari iligawanywa kwa wanahisa wa FCA, na asilimia 10 inaendelea kuwa inayomilikiwa na Piero Ferrari. Kuondolewa kukamilika tarehe 3 Januari 2016. [9]
      Katika historia yake yote, kampuni hiyo imejulikana kwa ushiriki wake kuendelea katika mashindano, hasa katika katika mashindano ya Formula One, ambako ni timu ya mashindano yenye mafanikio zaidi, ikiwa na ubingwa wa ujenzi zaidi ya(16) na ikazalisha idadi kubwa zaidi ya madereva wanaoshinda . Magari ya barabarani Ferrari kwa ujumla huonekana kama ishara ya kasi, anasa na mali.

    G

    • Gari la Nyayo

      Gari la Nyayo

      Magari ya Nyayo Kiwandani
      Gari la Nyayo ilikuwa mradi wa serikali ya Kenya wa kupanga na kutengeneza magari ya Kenya.
      Mradi huu ulianzishwa mwaka 1986 wakati rais Daniel Arap Moi aliomba Chuo Kikuu cha Nairobi kutengeneza magari.
      Majaribio matano yalifanywa yaitwayo Pioneer Nyayo Cars na yalikuwa na kasi ya 120 km/h.
      Shirika la magari la Nyayo liliundwa ili kuzalisha magari haya kwa wingi.
      Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa fedha, magari haya hayakuingizwa katika uzalishaji.
      Shirika la magari la Nyayo baadaye lilipewa jina la Numerical Machining Complex Limited, shirika la kuunda viungo vya chuma vya viwanda vingine.

    H

    • Hennessey Venom GT

      Hennessey Venom GT

      Hennessey Venom GT
      Hennessey Venom GT
      Hennessey Venom GT ni gari lenye utendaji wa juu lililoundwa na Texas-Based Hennessey Performance Engineering. Hili gari ni toleo la marekebisho ya gari la michezo la UingerezaLotus Exige.

      Kumbukumbu za kasi[hariri | hariri chanzo]

      Mnamo Januari 212013,Venom GT iliweka Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa gari la lenye kasi kubwa kutoka maili 0-186 kwa saa (0-300 km / h) kwa wastani wa kasi ya sekunde 13.63. Kwa kuongeza, gari limeweka rekodi isiyo rasmi ya 0-20022 km / h) kuongeza kasi kwa sekunde 14.51, kupiga muda wa Koenigsegg Agera R ya sekunde 17.68, na kuifanya kuwa kasi ya haraka ya kuongeza kasi ya gari la uzalishaji ulimwenguni.
      Mnamo Aprili 32013, Hennessey Venom GT ilianzisha 265.7 mph (kilomita 427.6 / h) kwa kipindi cha kilomita 3.2 wakati wa kupima katika Kituo cha Airways cha Marekani cha LemooreCalifornia. Hennessey ilitumia mifumo miwili ya VBOX 3i kuweka batli mifumo ili kuandika kukimbia na kuwa na viongozi wa VBOX kwa mkono ili kuthibitisha idadi.
    • Horch

      Horch

      Horch Dienst.
      Horch ilikuwa ni alama ya gari lililotengenezwa nchini Ujerumani na Agosti Horch akiwa na Cie, mwanzoni mwa karne ya 20.
      Ni babu wa moja kwa moja wa kampuni ya leo ya Audi, ambayo kwa upande wake ilitoka kwa Auto Union, iliyoundwa mwaka wa 1932 wakati huo Horch ilijiunga na DKWWanderer na biashara ya kihistoria Audi ambayo Agosti Horch alianzisha mwaka 1910.











    L

    M

    • Mercedes Benz
    BENZ SLS AMG
    Mercedes Benz ni kampuni kubwa ya magari inayojihusisha na utengenezaji wa magari madogo, malorimabasi n.k.
    Jina Mercedes Benz lilitokea mnamo mwaka 1926 kutoka kwa Daimler Benz.

    Historia

    Mercedes Benz ni gari la kwanza la petroli lililotengenezwa na Karl BenzBenz Patent Motorwagen, kutokana na ufadhili wa na Bertha Benzna kupewa hatimiliki Januari 1886. Gari hili liliuzwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1901 na kampuni ya Daimler-Motoren-Gesellschaft.

    P

    • Pagani Zonda

      Pagani Zonda

      Pagani Zonda.
      Pagani Zonda ni gari la michezo lililotengenezwa na mtengenezaji wa Italia, anayejulikana kama Pagani.
      Ilianza mwaka 1999 na uzalishaji ukamalizika mwaka 2017 na magari 760 ya mfululizo na matoleo mengine ya kumbukumbu yenye kukumbukwa yanapatikana hadi mwaka huo.