Uingereza
Kwa maana nyingine, tazama Uingereza (maana).
England
Uingereza
(Bendera ya Uingereza) (Nembo la Uingereza)
Wito (Kifaransa): Dieu et mon droit
("Mungu na haki yangu")
Mahali pa Uingereza (kijani cheusi) kwenye visiwa vya Britania ndani ya Ufalme wa Muungano (kijani nyeupe) pamoja na Jamhuri ya Eire (buluu) upande wa magharibi
Lugha Kiingereza
Mji Mkuu London
Mji Mkubwa London
Eneo
– jumla
130,395 km²
Wakazi
–2004
–sensa ya 2001
– Msongamano wa watu
50.1 millioni [1]
49,138,831 [2]
377/km²
Umoja wa nchi yote 927 BK na mfalme
Athelstan
Dini rasmi Church of England(Anglikana)
Pesa Pound sterling (£) (GBP)
Masaa UTC / (GMT)
Summer: UTC +1 (BST)
Ua la Taifa Waridi ya Tudor (nyekundu, nyeupe)
Mtakatifu wa kitaifa Mt George
Uingereza (pia: Ingilandi, England) ni nchi kubwa ndani ya Ufalme wa Muungano yenye wakazi milioni 50 au 83% ya wakazi wa Ufalme wote na eneo lake ni theluthi mbili ya kisiwa cha Britania.
Katika lugha ya kila siku "Uingereza" hutaja mara nyingi Ufalme wote au kisiwa chote cha Britania. Lakini hali halisi "Uingereza" ni ile sehemu kubwa zaidi kwenye kisiwa kile pamoja na Uskoti (Scotland) na Welisi (Wales).
Asili ya jina la Kiswahili ni neno "إنجليزي injilisi (matamshi ya Kimisri: ingilisi)" katika lugha ya Kiarabu na kwa namna ya Kibantu sauti ya "l" ikawa "r"; Waarabu walipokea jina kutoka kwa Kihispania "Ingles" ambalo ni neno lao kwa Mwingereza.
| |||||
Wito (Kifaransa): Dieu et mon droit ("Mungu na haki yangu") | |||||
Mahali pa Uingereza (kijani cheusi) kwenye visiwa vya Britania ndani ya Ufalme wa Muungano (kijani nyeupe) pamoja na Jamhuri ya Eire (buluu) upande wa magharibi | |||||
Lugha | Kiingereza | ||||
Mji Mkuu | London | ||||
Mji Mkubwa | London | ||||
Eneo – jumla | 130,395 km² | ||||
Wakazi
–2004
–sensa ya 2001 – Msongamano wa watu | 50.1 millioni [1]
49,138,831 [2]
377/km² | ||||
Umoja wa nchi yote | 927 BK na mfalme Athelstan | ||||
Dini rasmi | Church of England(Anglikana) | ||||
Pesa | Pound sterling (£) (GBP) | ||||
Masaa | UTC / (GMT) Summer: UTC +1 (BST) | ||||
Ua la Taifa | Waridi ya Tudor (nyekundu, nyeupe) | ||||
Mtakatifu wa kitaifa | Mt George |
Uingereza (pia: Ingilandi, England) ni nchi kubwa ndani ya Ufalme wa Muungano yenye wakazi milioni 50 au 83% ya wakazi wa Ufalme wote na eneo lake ni theluthi mbili ya kisiwa cha Britania.
Katika lugha ya kila siku "Uingereza" hutaja mara nyingi Ufalme wote au kisiwa chote cha Britania. Lakini hali halisi "Uingereza" ni ile sehemu kubwa zaidi kwenye kisiwa kile pamoja na Uskoti (Scotland) na Welisi (Wales).
Asili ya jina la Kiswahili ni neno "إنجليزي injilisi (matamshi ya Kimisri: ingilisi)" katika lugha ya Kiarabu na kwa namna ya Kibantu sauti ya "l" ikawa "r"; Waarabu walipokea jina kutoka kwa Kihispania "Ingles" ambalo ni neno lao kwa Mwingereza.
Yaliyomo
Jiografia
Uingereza iko kwenye kisiwa cha Britania ambayo ni kisiwa kikubwa cha Ulaya. Imepakana na Welisi upande wa magharibi na Uskoti upande wa kaskazini. Mji Mkuu ni London. Ufaransa iko upande wa kusini ng'ambo ya Mfereji wa Kiingereza. Tangu mwaka 1994 kuna njia ya reli kwa tobwe chini ya mfereji inayounganisha Uingereza na Ufaransa.
Kati ya miji mikubwa ya Uingereza ni: London, Manchester, Birmingham, Leeds, Sheffield, Bradford na Liverpool.
Uingereza ina visiwa vingi vidogo; kikubwa ni Isle of Wight katika kusini.
Uingereza iko kwenye kisiwa cha Britania ambayo ni kisiwa kikubwa cha Ulaya. Imepakana na Welisi upande wa magharibi na Uskoti upande wa kaskazini. Mji Mkuu ni London. Ufaransa iko upande wa kusini ng'ambo ya Mfereji wa Kiingereza. Tangu mwaka 1994 kuna njia ya reli kwa tobwe chini ya mfereji inayounganisha Uingereza na Ufaransa.
Kati ya miji mikubwa ya Uingereza ni: London, Manchester, Birmingham, Leeds, Sheffield, Bradford na Liverpool.
Uingereza ina visiwa vingi vidogo; kikubwa ni Isle of Wight katika kusini.
Mito ya Uingereza
Mikoa ya Uingereza
Historia
Uingereza ilikaliwa na makabila ya Wabritania wenye lugha za Kikelti na kuvamiwa na Dola la Roma katika karne ya pili BK. Ikawa sehemu ya Dola la Roma hadi karne ya tano BK. Wakati ule Waroma walipaswa kuondoa wanajeshi wao kisiwani kwa ajili ya ulinzi wa nchi za bara.
Uingereza ilikaliwa na makabila ya Wabritania wenye lugha za Kikelti na kuvamiwa na Dola la Roma katika karne ya pili BK. Ikawa sehemu ya Dola la Roma hadi karne ya tano BK. Wakati ule Waroma walipaswa kuondoa wanajeshi wao kisiwani kwa ajili ya ulinzi wa nchi za bara.
Uvamizi wa Waanglia-Saksoni
Katika karne za 5 na 6 BK makabila ya Kigermanik walivamia kisiwa hasa Wasaksoni, Waanglia na Wadenmark. Walileta lugha zao za Kigermanik zilizochukua nafasi ya lugha ya Wabritania.
Wabritania na Waroma waliokuwa wamebaki walihamia maeneo ya kando kama Welisi au Cornwall au kuvuka mfereji wa Uingereza kwenda Britania Ndogo (Kiingereza:Brittany; Kifaransa: Bretagne).
Katika karne za 5 na 6 BK makabila ya Kigermanik walivamia kisiwa hasa Wasaksoni, Waanglia na Wadenmark. Walileta lugha zao za Kigermanik zilizochukua nafasi ya lugha ya Wabritania.
Wabritania na Waroma waliokuwa wamebaki walihamia maeneo ya kando kama Welisi au Cornwall au kuvuka mfereji wa Uingereza kwenda Britania Ndogo (Kiingereza:Brittany; Kifaransa: Bretagne).
Uvamizi wa Wanormani
Mwaka 1066 wanajeshi Wanormani kutoka kaskazini ya Ufaransa walivamia Uingereza na kuteka yote chini ya mtemi William Mshindi. Wavamizi walitawala wakitumia aina ya Kifaransa. Lugha zote mbili za wananchi na za mabwana ziliendelea pamoja sambamba hadi kuwa lugha moja cha Kiingereza.
Mwaka 1066 wanajeshi Wanormani kutoka kaskazini ya Ufaransa walivamia Uingereza na kuteka yote chini ya mtemi William Mshindi. Wavamizi walitawala wakitumia aina ya Kifaransa. Lugha zote mbili za wananchi na za mabwana ziliendelea pamoja sambamba hadi kuwa lugha moja cha Kiingereza.
Ufalme wa Muungano
Tangu mwaka 1601 mfalme James VI wa Uskoti alichaguliwa kuwa mfalme wa Uingereza pia. Nchi jirani zote mbili ziliendelea na wafalme wa pamoja hadi mwaka 1707. Mwaka ule Uingereza pamoja na Welisi na Uskoti ziliunganishwa kuwa Ufalme wa Muungano wa Britania. Tangu 1801 jina likawa Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire (United Kingdom of Great Britain and Ireland) hadi 1927 wakati sehemu kubwa ya Eire ikapata uhuru wake. Tangu 1927 Uingereza ni sehemu ya Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini(United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland).
Tangu mwaka 1601 mfalme James VI wa Uskoti alichaguliwa kuwa mfalme wa Uingereza pia. Nchi jirani zote mbili ziliendelea na wafalme wa pamoja hadi mwaka 1707. Mwaka ule Uingereza pamoja na Welisi na Uskoti ziliunganishwa kuwa Ufalme wa Muungano wa Britania. Tangu 1801 jina likawa Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire (United Kingdom of Great Britain and Ireland) hadi 1927 wakati sehemu kubwa ya Eire ikapata uhuru wake. Tangu 1927 Uingereza ni sehemu ya Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini(United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland).
Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini(United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland).
Ufalme wa Muungano
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Dieu et mon droit" (Kifaransa) "Mungu na haki yangu" | |||||
Wimbo wa taifa: "God Save the Queen" | |||||
Mji mkuu | London | ||||
Mji mkubwa nchini | London | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali
• Waziri Mkuu wa Ufalme wa Muungano
| Unitary, Katiba kifalme Theresa May MP | ||||
' | |||||
Eneo - Jumla - Maji (%) | 243,610 km² (80th) 1.34% | ||||
Idadi ya watu - 2013 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu | 64,100,000 (22nd) 63,181,775 255.6/km² (51st) | ||||
Fedha | Pound Sterling (£) (GDP ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) | Greenwich Mean Time (GMT) (UTC+0) British Summer Time (BST) (UTC+1) | ||||
Intaneti TLD | .uk | ||||
Kodi ya simu | +44
-
|
Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini (kwa Kiingereza: United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland); kifupi "Ufalme wa Muungano" Kiing.: United Kingdom) ni nchi ya visiwani ya Ulaya ya kaskazini-magharibi.
Mara nyingi huitwa kwa Kiswahili "Uingereza" tu ingawa nchi ya Uingereza ni moja tu kati ya sehemu za ufalme huo pamoja na Uskoti, Welisi na Eire ya Kaskazini.
Nchi iliongoza mapinduzi ya viwanda duniani, ilenea katika mabara yote kwa makoloni yake mengi ikabaki hadi leo kati ya nchi muhimu zaidi ulimwenguni.
Ni mwanachama mwanzilishi wa Umoja wa Mataifa, ambapo ana kiti cha kudumu na kura ya turufu katika Halmashauri ya Usalama, pia ni mwanachama wa Umoja wa Ulaya.
Historia
Milki kubwa kwenye kisiwa cha Britania Kuu ilikuwa Uingereza. Tangu mwaka 1284 Welisi ilitawaliwa na Uingereza na katika Sheria ya Muungano (Act of Union) ya 1536 ilikuwa sehemu ya Milki ya Uingereza. Sheria ya Muungano ya 1707 iliunganisha milki mbili za Uingereza na Uskoti kuwa Milki ya Britania Kuu. Nchi zote mbili ziliwahi kuwa chini ya mfalme mmoja tangu mwaka 1603. Tangu wakati uleule Ufalme wa Eire (Ireland) ilitawaliwa na Uingereza pia. Sheria ya 1800 iliunganisha Ufalme wa Britania Kuu na Ufalme wa Eire na hivyo kuunda Ufalme wa Maungano (United Kingdom of Great Britan and Ireland).
Baada ya Vita ya uhuru ya Eire bunge la London kwa sheria ya 1920 (Government of Ireland Act 1920) liligawa Ireland kwa sehemu mbili za Northern Eireland na Southern Ireland. Wabunge waliochaguliwa katika Ireland ya Kusini walijitangaza kuwa bunge la Eire na kwa mapatano ya 1922 uhuru wa Dola Huru la Eire ilitambuliwa. Nchi mpya ilijiita tangu 1922 1937 "Jamhuri ya Eire na kuendelea kama nchi ya pekee. Mikoa ya Northern Ireland iliendelea kuwa sehemu za Ufalme wa Maungano.
Mwaka 1999 Uskoti, Welisi na Northern Ireland zilirudishwa bunge zao za pekee. Uskoti ilikuwa na harakati pana ya kuondoka katika Ufalme wa Maungano lakini katika kura ya watu wa Uskoti ya mwaka 2014 asilimia 55 waliamua kubaki.
Kura ya wananchi ya 2016 iliamua kuondoka katika Umoja wa Ulaya kwa asilimia 51.9.
Wakazi
Upande wa dini, kadiri ya sensa ya mwaka 2011, 59.5% za wakazi ni Wakristo (hasa wa Anglikana, halafu Wakatoliki, Wakalvini na wengineo), 4.4% ni Waislamu, 1.3% ni Mabanyani. 25.7% hawana dini yoyote.
Muungano na utawala
Bendera | Nchi | Hali | Wakazi | Vitengo | Mji mkuu |
---|---|---|---|---|---|
Uingereza | Ufalme | 50,431,700 | London | ||
Uskoti | Ufalme | 5,094,800 | Edinburgh | ||
Welisi | Utemi | 2,958,600 | Cardiff | ||
Hapana | Eire ya Kaskazini | Jimbo | 1,724,400 | Belfast |
Tazama pia
Orodha ya miji ya Ufalme wa Muungano
Hii ni orodha ya miji ya nchi ya Ufalme wa Muungano yenye angalau idadi ya wakazi 100,000 (2001).[1]
Cheo Mji Wakazi (2001) Nchi 1 London 7,172,091 Uingereza 2 Birmingham 970,892 Uingereza 3 Glasgow 629,501 Uskoti 4 Liverpool 469,017 Uingereza 5 Leeds 443,247 Uingereza 6 Sheffield 439,866 Uingereza 7 Edinburgh 430,082 Uskoti 8 Bristol 420,556 Uingereza 9 Manchester 394,269 Uingereza 10 Leicester 330,574 Uingereza 11 Coventry 303,475 Uingereza 12 Kingston upon Hull 301,416 Uingereza 13 Bradford 293,717 Uingereza 14 Cardiff 292,150 Welisi 15 Belfast 276,459 Eire ya Kaskazini 16 Stoke-on-Trent 259,252 Uingereza 17 Wolverhampton 251,462 Uingereza 18 Nottingham 249,584 Uingereza 19 Plymouth 243,795 Uingereza 20 Southampton 234,224 Uingereza 21 Reading 232,662 Uingereza 22 Derby 229,407 Uingereza 23 Dudley 194,919 Uingereza 24 Newcastle upon Tyne 189,863 Uingereza 25 Northampton 189,474 Uingereza 26 Portsmouth 187,056 Uingereza 27 Luton 185,543 Uingereza 28 Preston 184,836 Uingereza 29 Aberdeen 184,788 Uskoti 30 Milton Keynes 184,506 Uingereza 31 Sunderland 177,739 Uingereza 32 Norwich 174,047 Uingereza 33 Walsall 170,994 Uingereza 34 Swansea 169,880 Welisi 35 Bournemouth 167,527 Uingereza 36 Southend-on-Sea 160,257 Uingereza 37 Swindon 155,432 Uingereza 38 Dundee 154,674 Uskoti 39 Huddersfield 146,234 Uingereza 40 Poole 144,800 Uingereza 41 Oxford 143,016 Uingereza 42 Middlesbrough 142,691 Uingereza 43 Blackpool 142,283 Uingereza 44 Bolton 139,403 Uingereza 45 Ipswich 138,718 Uingereza 46 Telford 138,241 Uingereza 47 York 137,505 Uingereza 48 West Bromwich 136,940 Uingereza 49 Peterborough 136,292 Uingereza 50 Stockport 136,082 Uingereza 51 Brighton 134,293 Uingereza 52 Slough 126,276 Uingereza 53 Gloucester 123,205 Uingereza 54 Watford 120,960 Uingereza 55 Rotherham 117,262 Uingereza 56 Newport 116,143 Welisi 57 Cambridge 113,442 Uingereza 58 Exeter 106,772 Uingereza 59 Eastbourne 106,562 Uingereza 60 Sutton Coldfield 105,452 Uingereza 61 Blackburn 105,085 Uingereza 62 Colchester 104,390 Uingereza 63 Oldham 103,544 Uingereza 64 St Helens 102,629 Uingereza 65 Crawley 100,547 Uingereza
No comments:
Post a Comment